Hizbullah yalaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani kitendo cha askari wa Marekani nchini Afghanistan cha kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu katika kituo cha jeshi la anga cha Bagram huko kaskazini mwa mji wa Kabul.
Askari wa Marekani wachoma moto Qur'ani nchini Afghanistan
Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano mapema leo mbele ya makao makuu ya askari wa Marekani mjini Kabul wakipinga kitendo cha kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu kilichofanywa na wanajeshi wa Marekani.